Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imezindua mashine maalumu ya kujifukiza.

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili hii leo imezindua rasmi mashine maalumu ambayo itatumika kutoa huduma za kujifukiza katika hospitali hiyo kuu ya rufaa nchini Tanzania. Mkurugenzi wa Muhimbili Prof Lawrence Maseru ameeleza kuwa, mgonjwa atatumia dakika tano akivuta mvuke wenye mchanganyiko wa dawa asili. Hata hivyo, wataalamu wengi wa afya pamoja na shirika la Afya